Warning: file_put_contents(./cache/https:/youtube.com/shorts/n6yEy4ovhAw.json): failed to open stream: No such file or directory in /www/wwwroot2/1.989592.xyz/UAvideo/smart/youtube.php on line 74
MUME WA ALIYEFARIKI CHUMBANI NA MWANAJESHI MSTAAFU TABORA AELEZA MAZITO Get More Information

Explore UAB

UAB News Stay informed with the latest updates
Campus & Community 2025-07-18

In United States Publish
Post Time: 2025-07-18

Juma Masanja ambaye ni mume wa Mery Nassoro, amesema amesikitishwa na kifo cha mke wake kilichotokea Desemba 5, 2024, akiwa chumbani na mwanajeshi mstaafu, Petro Masali. Masanja, ambaye amekuwa na Mery kwa zaidi ya miaka 30 kabla ya kufunga ndoa rasmi mwaka mmoja uliopita, amesema hakuwahi kuhisi kama mkewe alikuwa na uhusiano wa nje ya ndoa. “Katika maisha yetu yote pamoja, sijawahi kushuhudia wala kuhisi dalili zozote za mke wangu kuchepuka. Kitendo hiki kimenishtua sana,” alisema Masanja leo Desemba 7, 2024, wakati akizungumza na Mwananchi. Mwili wa Mery Nassoro umezikwa leo katika makaburi ya Kanisa Katoliki Ipuli, Manispaa ya Tabora, huku mwili wa Petro Masali ukisafirishwa hadi wilayani Nzega kwa mazishi. Tukio hilo limeacha simanzi kubwa miongoni mwa familia na jamii ya Tabora, huku wengi wakisubiri taarifa rasmi kuhusu kilichosababisha vifo vyao. Video na Johnson James


MUME WA ALIYEFARIKI CHUMBANI NA MWANAJESHI MSTAAFU TABORA AELEZA MAZITO For Country: United States. City: Augusta, Baton Rouge, Lowell, Moreno Valley, Sterling Heights

Tag: #Get More Information, #click through the up coming website, #click through the up coming web site, #visit the next internet site, #read full article

MUME WA ALIYEFARIKI CHUMBANI NA MWANAJESHI  MSTAAFU TABORA AELEZA MAZITO

Back to Top