Explore UAB

UAB News Stay informed with the latest updates
Campus & Community 2025-07-17

In United States Publish
Post Time: 2025-07-17

Yanga SC imepoteza mchezo wa pili mfululizo kwenye ligi baada ya kukubali kichapo cha mabao 3-1 kutoka kwa tabora United, mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa leo Azam Complex, Chamazi. Offen Chikola amefunga magoli mawili dakika ya 19 na 45 ... huku Nelson Munganga akifunga la tatu dakika ya 78. Goli la kufutia machozi kwa Yanga limefungwa na Clement Mzize dakika ya 90. Yanga pia walipata penati dakika ya 45 ikipigwa na Stephane Aziz ki lakini ikadakwa na golikikpa Hussein Masalanga.... haya hapa magoli yote...


Magoli | Yanga SC 1-3 Tabora United | NBC Premier League 07/11/2024 For Country: United States. City: Abilene, Jacksonville, Madison, Plano, South Bend

Tag: #Look At This Website, #see page, #the full report, #you could check here, #try these guys

Magoli | Yanga SC 1-3 Tabora United | NBC Premier League 07/11/2024

Back to Top